Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga Enzi za Uhai wake Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga (King Drew) ukiwa unawasili katika uwanja wa Mashujaa kwa ajili ya Ibada na Kutoa kutoa Heshima za mwisho
Ibada ikiwa inaanza Baada ya Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga kuwasili
Kwaya wakiwa wanaimba wimbo wao wakati wa kujiandaa na ibada
Familia,Ndugu wa karibu, pamoja na Viongozi Mbalimbali wa Serikali wakiwa katika ibada ya kumsindikiza Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga
Mmoja wa Marafiki wakubwa wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga Victor Mponzi akiwa anasoma Historia na wasifu wa Marehemu.
Mmoja wa Marafiki wakubwa wa Marehemu Andrew Nicky Sanga akiwa anatambulisha wageni.
Huyu ni Rafiki yake sana na Marehemu Andrew Nicky Sanga ambaye anatoka Marekani na alikuja pamoja na Mwili akitoa salamu zake za Rambirambi kutoka Houston Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akitoa salamu zake za rambirambi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa.
Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi akiwa anatoa salamu za Rambirambi na kueleza namna alivyo mfahamu Marehemu Andrew Nicky Sanga
Mh. Mbunge wa Viti maalum akitoa salam za rambirambi na kusisitiza upendo kama aliokuwa nao mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga
Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani akitoa neno la Mungu la wakati wa Ibada ya kuaga Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga.
Ndugu ,Jamaa na Marafiki wakiwa katika ibada ya Mazishi ya mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga uwanja wa Mashujaa.
Baba wa Mzazi mwenzake na Marehemu Andrew Nicky Sanga akitoa heshima za mwisho
Mbunge wa Mikumi Mh. Joseph Haule akitoa Heshima za mwisho
Baba wa Marehemu Andrew Nicky Sanga akitoa heshima zake za mwisho kwa mwanae mpendwa
Mzazi mwenzake na Marehemu Andrew Nicky Sanga akiwa na Mtoto wao mpendwa Zoe wakitoa heshima zao za mwisho.
Watumishi wa Mungu wakiongozwa na Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani wakitoa neno la Baraka kwa Marehemu Andrew Nicky Sanga
Marafiki wakubwa wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wakitoa Heshima zao za mwisho
Msafara ukielekea Makaburini
Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga ukihifadhiwa katika nyumba yake ya Milele
Umati wa watu wakiwa Makaburini kwa ajili ya Mazishi
Mh. Joseph Mbilinyi na Mh. Joseph Haule wakiwa Pamoja na Marafiki wengine wa Marehemu Andrew Sanga wakiwa Makaburini.
Mama mzazi wa Marehemu Andrew Nick Sanga akiwa anaweka Shada la Maua
Baba Mzazi wa Marehemu Andrew Nicky Sanga na Mke wake wakiwa wanaweka Shada la maua
Mtoto wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wa katikati akiwa anaweka Shada la Maua
Mzazi Mwenzake na Marehemu Andrew Nicky Sanga akiwa anaweka Shada la Maua
Victor Luvena akiendelea kusoma utaratibu wa kuweka mashada
Wazazi wa Mzazi mwenzake na Andrew Nicky Sanga wakiweka Shada.
Wadogo zake na Marehemu wakiweka Shada la Maua
Mh. Joseph Mbilinyi akiweka Shada la Maua
Marafiki wa mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga waliokuja na Mwili kutoka Marekani wakiweka shada la Maua
Marafiki wakubwa wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wakiweka shada lao
Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani akiweka Shada.
Dkt. Sanga akitoa salamu za Shukurani kwa niaba ya Familia.
Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani akisoma neno la kufunga ibada.
Marafiki wa Andrew Nicky Sanga wakiwa katika Picha ya Pamoja baada ya Mazishi.
Kaburi la Marehemu mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga Baada ya Mazishi. Picha zote na Fredy Njeje.