MEYA TANGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUTHAMINI IMANI ZA WATU
Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la MadiwaniMSTAHIKI meya wa Jiji la Tanga Alhaji Mustapha Selebosi akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani leo...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AMLILIA MTANGAZAJI WA TBC ALIYEFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI
Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG
View ArticleJAFO AKERWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA DC DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo akiwa kwenye nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, alipofika kukagua maendeleo ya ujenzi huo.Mafundi kutoka Suma JKT wakiendelea na ujenzi wa nyumba...
View ArticleTANZIA: SALAMU ZA POLE KUFUATIA KIFO CHA MTANGAZAJI MARIN HASSAN MARIN
Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG
View ArticleSIMBACHAWENE-MASHINE MPYA KUONGEZA UZALISHAJI WA VITAMBULISHO NIDA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa wizara, jijini Dodoma, ambapo ameahidi kuwashughulikia watendaji...
View ArticleALAZARO SOKIONE AZIKWA, MAMIA WAMSINDIKIZA
Wakuu wa Mikoa ya Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka, Morogogo – Mhe. Loata Sanare, Tanga – Mhe. Martine Shigela na Arusha Mhe. Mrisho Gambo wakiweka shada la maua katika kaburi la Alazaro Sokoine,...
View ArticleWAZIRI MPINA ASHTUKIA UPIGAJI WA BILIONI 2.6 UJENZI MAABARA YA UVUVI, AAGIZA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo ya namna ya shughuli ya ujenzi wa mradi wa jengo la Maabara ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) Kituo cha Dar es Salaam kutoka kwa...
View ArticleWIZARA YA AFYA YATOA TAARIFA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA, TANZANIA WAFIKIA 20
Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG
View ArticleVIJIJI 9,001 NCHINI VIMEUNGANISHIWA UMEME -MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanikiwa kutekeleza Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini (REA) ambapo vijiji vilivyounganishiwa umeme nchini vimeongezeka kutoka vijiji 2,118 mwaka 2015...
View ArticleWAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI...
Waziri wa Viwanda na Bishara Mhe Innocent Nashungwa (Kulia) akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi cha kujadili namna ya kufungamanisha uchumi wa Kilimo na Viwanda Jijini Dodoma, leo tarehe 1 Aprili...
View ArticleKAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE...
Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai (kulia) akipokea baadhi ya vifaa kutoka kwa Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict leo katika viwanja vya (MOI) jijini Dar es SalaamMkurugenzi wa Tiba (MOI)...
View ArticleENDELEENI KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA CORONA KWA WANANCHI – DKT.NDUGULILE
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akisisitiza jambo wakati akiongea na Wataalamu wa Sekta ya Afya ngazi ya Mkoa (hawapo kwenye picha) katika...
View ArticleMAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesisitiza kuwa mtu yeyote akithibitika kuwa na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) apelekwe eneo maalum bila kujali cheo chake na...
View ArticleMSISUBIRI SERIKALI ISEME, PANDENI MITI-RC MWANGELA
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akipanda mti katika chanzo cha maji cha Ilolo Wilayani Mbozi katika maadhimisho ya Siku ya kitaifa ya Upandaji miti ambapo kimkoa yamefanyika...
View ArticleTFS YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MITI KITAIFA KWA KUGAWA BURE MICHE YA MITI...
:Mmoja wa wakazi wa jijini Dar es Salaam(kulia) akipokea miche ya miti kutoka kwa Mtumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya upandaji miti kitaifa...
View ArticleWASAFIRI 84 WAWEKWA KARANTINI TUNDUMA
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akipata maelezo ya namna ambavyo wasafiri wanaotumia mpaka wa Tunduma hupimwa endapo wana maambukizi ya Virusi vya Corona kabla ya kuruhusiwa...
View ArticleTAARIFA YA UPOTOSHAJI INAYOSAMBAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII DHIDI YA WAZIRI...
Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG
View ArticleSIMBACHAWENE AKUTANA NA MWAKILISHI MKUU WA UNHCR NCHINI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza masuala mbalimbali yanayohusu wakimbizi na Mwakilishi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini,...
View ArticleMKURUGENZI MANISPAA YA SINGIDA AWAONDOLEA HOFU WALAJI WA NYAMA
Wafanyabiashara wa nyama Mkoa wa Singida wakiingiza kitoweo hicho katika maduka ya nyama yaliyopo Soko Kuu la Singida.Mwonekano wa maduka ya nyama Soko Kuu la Singida.Afisa Mifugo na Uvuvi Manispaa ya...
View ArticleWAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Wabunge wakati akiingia Bungeni, kabla ya kusoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za...
View ArticleMABULA ATAKA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA MITANDAO YA SIMU KUEPUKA...
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Wakurugenzi na Watendaji wa sekta ya rdhi katika halmashauri za mkoa wa Simiyu juzi akiwa katika ziara yake ya...
View ArticleMKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADIKO YA MAKAMANDA
Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF) John W. Masunga, amefanya mabadiliko ya baadhi ya Makamanda wa Mikoa.Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na...
View ArticleWANANCHI WA ZANZIBAR WASHIRIKI MAZIKO YA MWANDISHI WA HABARI MUANDAMIZI WA...
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiwa katika Ibada ya kuusalia Mwili wa Marehemu Marin Hassan Marin, Mwandishi wa Habari Muandamiziu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) sala na dua hiyo imefanyika...
View ArticleDC MBONEKO AHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WANANCHI KULIPA KODI YA PANGO LA...
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (kulia) akitoa elimu ya ulipaji kodi ya pango la ardhi kwa Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Phantom Oil Tanzania Ltd John Maguru (kushoto)...
View ArticleBODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA...
Mhandisi Rasilimali za Maji, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Moses Salumbi (kushoto), akiweka alama za ukomo wa maji ya mafuriko kwenye Maziwa ya Kindai na Munang mkoani Singida jana.Wengine kutoka kulia...
View Article