Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all 11654 articles
Browse latest View live

CHAIRMAN OF UBA GROUP PLC, TONY ELUMELU HONOURED WITH LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD IN ABIDJAN

$
0
0
Tony Elumelu
At the 5th edition of the annual forum, CGECI Academy 2016, the Ivorian National Council of Employers, General Confederation of Enterprises of Côte d'Ivoire (CGECI) presented African businessman and investor, Tony Elumelu, with its 2016 CGECI Lifetime Achievement Award on April 21, 2016 in Abidjan, Côte d’Ivoire. The formal presentation was to honour Mr. Elumelu on his leadership and key role as an African business champion. The event was attended by over three thousand delegates across Africa including top government officials, business leaders, established and aspiring entrepreneurs.

Addressing guests present at the event, Chairman of African investments company, Heirs Holdings, UBA Plc and Transcorp Plc, Mr. Tony Elumelu delivered a keynote speech where he advocated for the collaboration of the private and public sectors to create value in the global competitive business landscape. He said, “SMEs are the backbone of any economy anywhere in the world. And when governments ignore the private sector and fail to attend to their obligations to create and sustain enabling environments for businesses to thrive and flourish, the consequences are stark - low GDP growth, mass unemployment, ethnic strife and possibly, even food and health crises and in some cases, violent conflict”.

Mr. Elumelu also addressed entrepreneurs, urging them to seek opportunities to accelerate their business success — including through The Tony Elumelu Foundation Entrepreneurship Programme (TEEP). “We are champions of African development because we are Africapitalists. Through Africapitalism, I seek to evangelize what works for successful business investments and inspire other entrepreneurs like yourselves; to also make the promotion of national and regional development a strategic priority for your businesses”, he said.

TEEP is his 10-year, $100 million commitment, to identify and empower 10,000 African entrepreneurs, create one million jobs and add $10 billion in revenues to Africa’s economy. So far, seventeen (17) entrepreneurs from Côte d'Ivoire have received grants and training from the programme.

Since its initiation in 2012 by the Ivorian National council of Employers, the annual economic forum, CGECI Academy, has provided a platform to raise awareness among African entrepreneurs about existing sources of capital and investors available to help grow and develop their businesses. The forum seeks to change the paradigm of access to finance in Côte d’Ivoire, creating a platform for sharing experiences and expertise. Furthermore, it aims to present the Ivorian private sector to regional and international partners and highlight the achievements and the opportunities within it. Other activities during the event include the announcement of the yearly business plan competition and a segment dedicated to sharing the experiences and testimonials of entrepreneurs.

The ceremony was attended by the Prime Minister of Côte d’Ivoire, Daniel Kablan Duncan, and the Prime Minister of Mauritius, Sir Anerood Jugnauth, among other business leaders and senior government officials.

WAZIRI UMMY MWALIMU AWASIMAMISHA WATENDAJI WA NHIF KWA UBADHIRIFU WA FEDHA

$
0
0
IMG_0724

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (pichani) amewasimamisha kazi kupisha uchunguzi kwa watendaji Wakuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ubadhirifu wa fedha za mfuko huo kwa Mkoa wa Mara.
New Doc 1_1 (1)New Doc 1_2

TIGO YATANGAZA VIDEO ZA YOU TUBE KUPATIKANA BURE USIKU KWA WATU WOTE

$
0
0
 Mkuu wa Kitengo cha Vifaa vya Mawasiliano wa Tigo, David Zacharia  (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu huduma iliyoanzishwa na kampuni hiyo ya kutiririsha  video za YouTube bure  ambayo itakuwa inapatikana kwa wateja wote wa Tigo kuanzia saa 6.00 usiku hadi saa 12.00 alfajiri. Kulia ni Meneja Mawailiano wa Tigo, John Wanyancha.
 Meneja Mawailiano wa Tigo, John Wanyancha (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

Kampuni  inayoongoza kwa maisha ya kidijitali ya Tigo Tanzania imetangaza upatikanaji wa huduma ya bure ya kutiririsha video za YouTube nyakati za usiku  kwa watumiaji wake wote ikiwa ni mara ya kwanza kwa kampuni ya simu  kutoa huduma hiyo  kwenye mitandao ya kijamii  bila tozo hapa nchini.

Akitangaza tukio hilo jijini Dar es Salaam leo,  Mkuu wa Kitengo cha Vifaa vya Mawasiliano wa Tigo, David Zacharia  aliviambia vyombo vya habari kuwa  huduma ya kutiririsha  video za YouTube bure  itakuwa inapatikana kwa wateja wote wa Tigo kuanzia saa 6.00 usiku hadi saa 12.00 alfajiri. 

Tigo ina wateja  zaidi ya milioni 10. Ikiwa imezinduliwa Mei 2005, YouTube ni utiririshaji wa video  ambao uunatumiwa na wafuasi zaidi ya bilioni  1 duniani kote, takribani theluthi moja yake  wakiwa wanatumia intaneti. 

Huduma hiyo inawapa fursa ya kuangalia video za YouTube kwa muda wa saa nyingi yakiwawo pia mabilioni ya maoni.  Aidha inaruhusu mabilioni ya watu kugundua, kuangalia na kushirikiana  video ambazo awali zilibuniwa  na kubuni jukwaa na kuunganisha, kuhabarisha na kuvutia  wengine sehemu mbalimbali duniani.

“Kitu pekee kinachohitajika ili kuweza kupata data za bure katika kutiririsha  video za YouTube ni kuwa na aina ya simu itakachoweza data hizo. Tunaamini  huduma hii mpya itaendelea  kuonesha kujituma kwetu  kwenye kuboresha mabadiliko kwenye maisha ya kidijitali na kuongoza  kutoa teknolojia ya hali ya juu pamoja na ubinifu kwa wateja wetu,” alisema Zacharia.

Pamoja na utriririshaji huo watumiaji wa YouTube  pia wateja watakuwa na njia mbadala ya kuweka video kwenye simu zao ambayo ni programu ya simu  inayojulikana kama YouTube Offline  inayomwezesha mtumiaji  kuongeza video kwenye simu yake ili aweze kuiangalia baadaye wakati ambapo muunganisho na itaneti  unakuwa haupo au upo chini.

Kwa video ambazo  pale ambapo  zinapatikana watumiaji wanaweza  kuchagua  kuongeza video kwa  kuzitiririsha  na kwa ajili ya kuangalia hapo baadaye  kwa kutumia  kitufe cha ‘offline’. 

Ikiwa  imeshachukuliwa kwa njia hiyo  video hiyo inaweza kuchezeshwa  bila kuunganishwa na intaneti kwa muda wa hadi saa 48, hivyo mtumiaji anaweza kuzifurahia video zake za YouTube  bila hofu ya maunganisho na intaneti kuwa yapo chini.

Zacharia aliongeza kwamba  kuzifikia data  bure kutakuwa  kunapatikana kwa wateja wa Tigo wa huduma ya malipo kabla  bila kuwepo malipo maalum yanayohitajika  kuifurahia huduma hiyo. 

Upatikanaji bure wa data za huduma ya kutiririsha video za YouTube umefanyika baada ya kampuni hiyo ya simu  kutangaza huduma nyingine ya bure ya WhatsApps kwa wateja wake mwanzoni mwa mwaka huu ambako pia kulitamnguliwa na  kiuzinduliwa kwa huduma ya Facebook ya Kiswahili mwaka 2014.

Tigo inayofuraha  kujumuisha  majkuwaa ya video kwenye ofa hii. Kama wewe ni  msambazaji wa huduma ya video unaweza kuwasiliana nasi  kupitia customercare@tigo.co.tz

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE, SOPHIA MJEMA AZINDUA MICHUANO YA UMISETA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

$
0
0
 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema ambaye alikuwa mgeni rasmi wa uzinduzi wa Michuano ya Shule za Sekondari Nchini (UMESETA), akipiga dana dana wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo.
 Wanafunzi wa shule za sekondari za mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye uzinduzi huo.
 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Shule ya Sekondari ya Azania vilivyotolewa na Kampuni ya Coca Cola. Kulia Ofisa kutoka kampuni ya Coca Cola wadhamini wakubwa wa michuano hiyo kwa mwaka 2016.
 DC Mjema akisalimiana na mwamuzi wa mchezo kati ya timu ya Sekondari ya Tirav ya Yombo na Makongo uliopigwa katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Makongo ilishinda mabao 2-1.
 DC Mjema akiwasalimia wachezaji wa timu ya Tirav.
 DC Mjema akisalimiana na wachezaji wa timu ya Makongo Sekondari.
Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema (kulia), akitoa nasaha zake kwa wachezaji hao kabla ya kuanza kucheza.
DC Mjema hapa akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya sekondari ya Tirav na viongozi mbalimbali.
DC Mjema hapa akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya sekondari ya Makongo na viongozi mbalimbali.


Hapa akiwa katika picha ya pamoja na waamuzi wa mchezo huo na viongozi mbalimbali.
Hapa mtanange ukiendelea.
Golikipa wa timu ya Tirav, Abdul Badi akiokoa moja ya hatari katika lango lake.
Wachezaji wa timu ya Makongo wakishangilia baada ya kupata bao lao la kwanza.

Na Dotto Mwaibale

MKUU wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema amezindua michuano ya Shule za Sekondari Nchini (UMESETA) katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam huku akisisitiza kuwa yataendelea kuwaibua wachezaji wengi chipukizi.

Akizungumza katika uzinduzi huo Mjema aliishukuru kampuni ya Cocacola kwa kudhamini mashindano hayo huku akiyaomba makampuni na wadau wengine kujitokeza kudhamini michezo mbalimbali.

Mashindano hayo yatashirikisha timu zaidi ya 40 katika mchezo wa mpira wa kikapu kwa vijana wa Shule za Sekondari kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini huku ikishirikiana na waandaaji wa michuano ya michezo ya Shule za Sekondari UMISETA katika kuhakikisha wanapata wachezaji wenye elimu kutoka mikoa yote hapa nchini.

Akizungumzia  mashindano hayo  Meneja wa Biashara wa Coca Cola Maurice Njowoka alisema wameamua kuongeza mchezo ili kupanua wigo wa mashindano hayo hapa nchini.

Aidha alisema lengo la kuungana na waandaaji hao, badala ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) pekee ni kutaka kupata wachezaji sahihi, kutoka mikoa yote, na ambao wako katika mashule ya Sekondari.

"Hii itatusaidia kupata wachezaji sahihi wenye elimu na ambao kweli wanasoma shule za sekondari,"alisema Njowoka.
Alisema tofauti na mwaka jana, tuliwatumia TFF pekee jambo ambalo tulipata wachezaji lakini katika mazingira magumu zaidi.

Alisema michuano ya mwaka huu wanaimani watapata wachezaji kiurahisi kwa sababu UMISETA ina rekodi ya wanafuzni wanaosoma katika shule za sekondari.

Njowoka alisema kwa kuanzia jijini Dar es Salaam, wametoa jezi na vifaa kwa shule za Sekondari zilizohudhuria katika mashindano hayo.

Alisema baada ya Dar es Salaam, wanaelekea Mwanza, Mbeya, Arusha na Moshi kwa ajili ya kuzindua rasmi michezo hiyo ambayo shule zinaanza kufanya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa.

Alisema katika udhamini wao watatumia kinywaji cha Coca Cola kwa upande wa soka, wakati Kikapu watatumia Sprite, lengo ni kufanikisha michuano hiyo safari hii kutokana na kuongeza idadi ya mchezo.

RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKUTANA NA MABALOZI IKULU

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi huyo wa Vatican alifika Ikulu kwa ajili ya kuagana na Rais Dkt. Magufuli mara baada ya kumaliza muda wake ya Ubalozi nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mgeni wake Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake nchini Francisco Montecillo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mgeni wake Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake nchini Francisco Montecillo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Algeria hapa nchini Belabed Saada akikabidhi ujumbe uliotoka kwa Rais wa Algeria kuja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi huyo wa Canada alifika Ikulu na ujumbe wake kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Rais Dkt. Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque wapili kutoka kulia pamoja na waakilishi wengine wa Serikali pamoja na Ubalozi wa Canada.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

WASHIRIKI 10 WAINGIA NDANI YA KUMI BORA YA WIKI YA SHINDANO LA AIRTEL TRACE MUSIC STARS

$
0
0
Mmoja ya majaji wa shindano la Airtel Trace Music Stars ambaye ni mtangazaji wa TV mahiri, Mwanamuzi, Mwigizaji na mfanya biashara , Jokate Urban Mwegelo (wa kwanza kulia) akiongea na jopo la majaji wenzake wakati wakichagua vijana waliofudhu kuingia kumi bora katika wiki hii. Zoezi hili lilifanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel Tanzania zilizoko Moroco jijini Dar es Saalam Jana
Mmoja ya majaji wa shindano la Airtel Trace Music Stars mtunzi wa nyimbo na mwaimu wa Muziki Anthony Joseph Namata“JOETT (aliyesimama) akisoma na kupigia maoni ya majaji wenzake juu ya washiriki waliofanya vizuri katika shindano la Airtel Trace Music Stars na kuingia katika kumi bora ya wiki hii wakati majaji hao walipokutana kufanya uchaguzi.
Mmoja ya majaji wa shindano la Airtel Trace Music Stars mtunzi wa nyimbo na mwaimu wa Muziki Anthony Joseph Namata“JOETT (kulia) akitoa hoja kwa jopo la majaji wenzake wakati wakichagua vijana waliofudhu kuingia kumi bora katika wiki hii. Zoezi hili lilifanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel Tanzania zilizoko Moroco jijini Dar es Saalam Jana. Pichani ni mtengenezaji wa Muziki na mfanyabiashara Luciano Gadie Tsere (katikati) na Lucy T. Ngongoseke, mratibu wa Airtel Trace Music Stars
---
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Leo imetangaza washiriki kumi bora wa wiki wa shindano kubwa barani Afika lijulikanallo Airtel Trace Music Stars lililolizinduliwa mwanzoni mwa mwezi wa pili na kuwapatia fursa vijana kuonyesha vipaji vyao.

Kabla ya kutangaza washindi hao Jopo la majaji linaloshirikisha wasanii na wataalamu wa muziki akiwemo mtangazaji wa TV mahiri, Mwanamuzi, Mwigizaji na msanii aliyejikita katika maeneo mengi, Jokate Urban Mwegelo, mtunzi wa nyimbo na mwaimu wa Muziki Anthony Joseph Namata“JOETT pamoja na mtengenezaji wa Muziki na mfanyabiashara Luciano Gadie Tsere likikaa mwishoni mwa wiki na kuchagua waimbaji 10 bora kati ya vijana walioweza kushiriki mpaka sasa.

Akitangaza baadhi ya vijana waliioingia katika kumi bora , Jaji Anthony Joseph Namata“JOETT alisema “moja kati ya vigezo vilivyotumika kuwapata hawa walioingia kumi bora ni pamoja na uwezo wao wa kuimba pamoja na sauti lakini pia idadi ya kura anazozipata kutoka kwa wasikilizaji.

Hivyo basi napenda kuchukua fulsa hii kutangaza vijana waliofanikiwa kuingia katika kumi bora ambao ni pamoja na Teddy Benedict Code 55210241, Beny Sule Code 55210243, Eddy Zone (Jack) Code 55210245, Anneth Stanley Code 55210248, Sarah Code 55210249, Nicole Grey Code 55210253, Yvone Masai Code 55210254, Adili Kwezi Code 55210115, Anneth Komba Code 552101256 , David Benson Mahenge Code 55210244”

Kwa upande wake Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando alisema “Tunafurahi kuona vijana wengi wamejitokeza kushiriki na kuonyesha vipaji vyao kwa mwaka huu, natoa wito kwa vijana kuendelea kushiriki kwani mashindano bado yanaendelea.

Sambamba na hilo tunawaomba watanzania wawapigie kura washiriki wanaowapenda pamoja na vijana hawa ili waweze kuendelea kutetea nafasi zao na hatimae kuingia kwenye tano bora na kisha kupenya kwenye fainali za kitaifa zitakazofanyika hapa jijini Dar es saalam mwishoni mwa mwezi Mei”

‘Ili kupiga kura kwa mshiriki unaempenda unatakiwa kupiga 0901002233 Kisha kuingiza code namba ya mshiriki au tuma SMS yenye code ya namba ya mshiriki kwenda namba 15594” aliongeza Mmbando

Huu ni msimu wa pili wa Shindano la Airtel Trace Music Stars ambapo sasa shindano hili lipo katika hatua kitaifa, fainali za taifa zinategemea kufanyika 20 Mei 2016 ambapo mshindi wa kwanza atajishindia shilingi million 50, pamoja na kupata nafasi ya kwenda kushiriki katika mashindano ya taifa mwezi Juni Lagos nchini Nigeria. Mshindi wa pili ataondoka na shilingi million 5 na watatu shilingi milioni 2

Ili kushiriki piga namba 0901002233.rekodi wimbo wako sasa.

FRANK LYIMO APEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA MAREKANI, ASHINDA MR. VIRGINIA INTERNATIONAL UNIVERSITY

$
0
0
Frank Lyimo (mwenye vazi la kimasai) mmoja ya Watanzania wanaosoma katika chuo cha kimataifa cha Virginia, ameshinda kwenye shindano la vivazi lililofanyika siku ya Alhamisi April 21, 2016. Vazi lililompa taji hilo ni vazi la kimasai.
Frank Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na miss District of Columbia mara tu alipovikwa taji na kuwa Mr. Virginia International University.
Frank Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wenzake wa Kitanzania wakipeperusha bendera ya Tanzania chuoni hapo katika kusherehekea ushindi.
Frank Lyimo (kati) akiwa na washiriki wengine.

WEZI WAIBA NG'OMBE NA KUMBEBA KWENYE NOAH, MAKAMBAKO - NJOMBE.

$
0
0
Tukio wa wizi wa mifugo limeripotiwa kutokea wilayani Makambako. Kilichovuta hisia, ni mbinu waliyotumia wezi hao kumsafirisha ng'ombe aliyeibiwa toka zizini kwa kutumia gari aina ya Noah. Askari waliokuwa doria walishuku gari hiyo na kuisimamisha, lakini dereva hakusimama na akaongeza mwendo. Askari walilifukuzia na hatimaye, dereva na watu wengine watatu walilitelekeza na kutokomea porini. Jambo la kujifunza ni wezi kwa sasa wamekuwa wakibuni njia mbali mbali ili kufanikisha uhalifu.

SERIKALI YAHAMASISHA WAWEKEZAJI VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI

$
0
0
Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhelm Meru akisisitiza jambo alipokuwa akiongea na maafisa kutoka kampuni ya nchini Ufaransa ya Endel Engie mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Wawekezaji hao walikuwa nchini kujifunza fursa za uwekezaji zinazopatikana. Kulia ni Bw. Jean Phillipe na Olivier Rousseau (wa pili kulia), wawekezaji kutoka kampuni hiyo.
Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhelm Meru (kushoto) akisisitiza jambo alipokuwa akiongea na maafisa kutoka kampuni ya nchini Ufaransa ya Endel Engie mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Wawekezaji hao walikuwa nchini kujifunza fursa za uwekezaji zinazopatikana. Wengine ni Bw. Jean Phillipe (wa pili kulia) na Olivier Rousseau (wa pili kushoto), wawekezaji kutoka kampuni hiyo. Kulia ni Bw. Gaudence Kayombo, aliyefuatana na ugeni huo.

Serikali imewataka wawekezaji wa ndani na nje kutumia fursa zilizopo Tanzania hasa katika eneo la kuongeza thamani ya malighafi mbalimbali.

Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhelm Meru alipokuwa akiongea na maafisa kutoka kampuni ya nchini Ufaransa ya Endel Engie mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.

Maafisa wa kampuni hiyo walikuwa nchini na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali waandamizi wa serikali kueleza nia yao ya kuwekeza Tanzania na kujua fursa zilizopo nchini.

Endel moja ya makampuni ya Engie Group yenye mapato yanayofikia Euro milioni 700 kwa mwaka na waajiriwa 6,000 nchini Ufaransa.

Baadhi ya shughuli za kampuni hiyo ni katika maeneo ya sayansi za anga, viwanda vya vyakula, reli, gesi, ujenzi wa meli, nishati ya nyuklia na viwanda vya chuma miongoni mwa vingine.

Kwa bara la Afrika, kampuni hiyo inafanya kazi katika nchi za Afrika ya Kusini, Angola na Congo DRC.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mkutano huo, Dkt. Meru alisema eneo la kuongeza thamani bado halijafanyiwa kazi na lina fursa kubwa kwa watu wanaotaka kuwekeza katika viwanda vya aina hiyo.

“Kama serikali tunaweka mazingira mazuri ya kuhakikisha kuwa watu wanawekeza kwa faida ya pande zote mbili,” alisema.

Aliwaambia maafisa wa kampuni hiyo kuwa utulivu wa kisiasa na amani iliyopo Tanzania vinaifanya kuwa eneo bora la kuwekeza katika ukanda huu wa Afrika.

Kampuni hiyo iko katika mchakato wa kutafuta fursa na vivutio vya kuwekeza katika nchi za Tanzania, Kenya na Msumbiji.

Aliyataja maeneo mengine yenye fursa za kuwekeza kama madini, Kilimo, utafutaji wa gesi na mafuta na uzalishaji nishati miongoni mwa nyingine.

Makamu wa Rais, Maendeleo ya Kimataifa, Endel Engie, Bw. Olivier Rousseau alisema wamevutiwa na hali ya amani, utulivu na raslimali katika eneo hili la Afrika na hasa Tanzania.“Tuko katika ziara ya kujifunza,” alisema.

Kwa mujibu wa afisa huyo, mwezi wa Kumi mwaka huu, wawakilishi wa kampuni hiyo, watarudi Tanzania na mapendekezo rasmi ya maeneo watakayokuwa wanataka kuwekeza hapa nchini.

Mbunge mstaafu wa jimbo la Mbinga Magharibi ambaye aliambatana na wawekezaji hao, Bw. Gaudence Kayombo alisema huu ni wakati wa kuitikia kwa vitendo azma ya serikali ya kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda.

Alisema uwekezaji katika maeneo hayo utasaidia kuleta teknolojia, mitaji na uzoefu Tanzania.

Serikali imedhamiria kuwa ifikapo mwaka 2020, asilimia 40 ya ajira zote na asilimia 15 ya pato la Taifa vitokane na sekta ya viwanda.

MWANAMUZIKI WA CONGO PAPA WEMBA AFARIKI DUNIA

$
0
0
 Papa Wemba akiwa jukwaani kwa mara ya mwisho jijini Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leo Jumapili ya Aprili 24, 2016.
 Papa Wemba aanguka na kupoteza fahamu katikati ya oneshoMwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko Abidjan, Ivory Coast, Jumapili ya Aprili 24, 2016.
---
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema marehemu Papa Wemba amefia hospitali alikokimbizwa mara baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati akiwa katika onesho jukwaani.

Papa Wemba alizaliwa June 14, 1949 huko Lubefu katika wilaya ya Sankuru nchini Congo. Alijipatia umaarufu sana kwa sauti nyororo na midundo ya Soukous ulimwenguni kote, ikiwamo Tanzania ambako amezuru mara kadhaa na kujizolea mashabiki wengi.

MPANGO WA KUSAIDIA KAYA MASIKINI (PSSN) WABADILISHA MAISHA YA WANANCHI VIKUGE, KIBAHA

$
0
0
Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha
Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF. (Picha na Modewjiblog)
TASAF Kibaha
Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare, akitoa neno la ukaribisho kwa ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini waliotembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).
UN Resident Coordinator and UNDP Resident Representative in Tanzania, Mr. Alvaro Rodriguez
Kiongozi wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini, Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumzia madhumuni ya ziara yao kwa wanakijiji.
DSC_0311
Mkurugenzi wa Programu Jamii wa TASAF, Amadeus Kamagenge akizungumza jambo wakati wa utambulisho wa ujumbe huo.
DSC_0183
Wanufaikaji wa mpango wa PSSN wakisoma risala kwa wageni.
DSC_0299
Mmoja wa wanufaikaji wa mpango wa PSSN akitoa maoni wakati wa mkutano na washirika wa maendeleo waliotembelea kijiji chao.
DSC_0321
Mwenyekiti kijiji cha Vikuge, Vitus Mchami akitoa salamu kwa niaba ya wanakijiji kwa ugeni huo.
DSC_0173
Baadhi ya wanakijiji cha Vikuge wanaonufaika na mradi wa PSSN waliohudhuria mkutano huo.
DSC_0145
Zoe Glorious (kulia) kutoka ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini akifanya mahojiano na Mnufaikaji wa kijiji cha Vikuge, Bi. Halima ambaye aliwezeshwa na mpango wa PSSN na kuanzisha biashara ya kufuga bata ambayo imemuwezesha kuendesha maisha yake na kumuingizia kipato.
DSC_0170
Bi Halima akiwa katika picha ya pamoja na mtoto wake wakati wa ziara ya washirika wa maendeleo nchini walipomtembelea nyumbani kwake.
DSC_0388
Mwakilishi wa Ubalozi wa Finland nchini, Milma Kettunen (kulia) akinunua moja ya bidhaa iliyotengenezwa na ukili kutoka kwa wakinamama wa kijiji cha Vikuge walionufaika na mpango wa PSSN na kujikwamua kiuchumi.
Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha
Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF.
DSC_0413
Mwakilishi wa USAID, Daniel Moore akinunua kitamba cha Batiki kutoka kwa wanufaikaji wa mpango wa PSSN unaoendeshwa na TASAF wakati wa ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya TASAF mkoa wa Pwani.
DSC_0375
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU), Eric Beaume wakimsikiliza mmoja wa wanakijiji cha Vikuge aliwezeshwa na mpango wa PSSN na kufanya biashara ya kilimo cha matunda na mazao mbalimbali. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Vikuge,Vitus Mchami, anayefatia Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare
DSC_0379
Baadhi ya Biashara za wananchi wa Vikuge walionufaika na mpanngo wa PSSN wa TASAF.
DSC_0717
DSC_0556
Baadhi ya wanakijiji wa Mwanabwito, Kibaha mkoa wa Pwani waliohudhuria mkutano wa washirika wa maendeleo.
DSC_0367
Mratibu TASAF wa wilaya ya Kibaha, Goodson Hare akizungumza jambo wakati wa kutizama biashara zinazofanywa na wajasiriamali walionufaika na mpango wa PSSN wa TASAF kutoka kijiji cha Vikuge, Kibaha.
DSC_0553
Ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini akiwemo Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) wakiwasili kwenye kijiji cha Mwanabwito.
DSC_0518
Ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini na viongozi wa TASAF katika picha ya pamoja walipotembelea shamba la miti katika kijiji cha Mwanabwito mkoani Pwani.
Usia Nkhoma Ledama
Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma- Ledama (katikati) akifafanua jambo kwa baadhi ya wajumbe wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini wakati wa ziara hiyo.

---
Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha

Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF. (Picha na Modewjiblog)

Washirika wa maendeleo nchini wametembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ambapo washirika hao wamekuwa wakitoa fedha ili kusaidia miradi hiyo.

Washirika hao wa maendeleo kutoka UN Tanzania, Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uingereza (DFID), Irish Aid, USAID na Shirika la Kimataifa la Misaada la Sweden (SIDA) ambao wamekuwa wakishirikiana na TASAF katika Mpango wa Kusaidia Kaya Masikini (PSSN).

Wakitoa taarifa mbele ya washirika wa maendeleo, wanavikundi kutoka Kijiji cha Vikuge wamesema kuwa kupitia mpango huo wameweza kuboresha maisha yao tofauti na jinsi ilivyokuwa awali.

Walisema kuwa maisha yao ya awali yalikuwa magumu lakini kutokana na msaada walioupata kutoka TASAF wameweza kuanzisha vikundi ambavyo vinawasaidia kuboresha maisha kwa kufanya biashara za mazao, nguo na chakula.

“Kuna mafanikio tumeyapata darasani mahudhurio yameongezeka, klini wamama wanakwenda na hata utapiamlo haupo tena kwa watoto kwa sababu ya TASAF kutusaidia,” alisema mwakilishi wa wanavikundi kutoka Vikuge.

TASAF Kibaha

Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare, akitoa neno la ukaribisho kwa ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini waliotembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

Akizungumzia ziara hiyo, Mratibu Mkazi wa Umoja wa MATAIFA NCHINI, Alvaro Rodriguez alisema wamefanya ziara hiyo ili kuona ni hatua gani imefikiwa na wanufaikaji na kuona ni changamoto gani bado zinawakabili.

“Tunaangalia changamoto zilizopo ili kuona ni jisni gani tunaweza kuwasaidia kama Mpango wa Kusaidia Kaya masikini ulivyo nab ado kuna wahitaji zaidi licha ya kuwa tumeshasaidia kaya Milioni1.1 kwa nchi nzima,

“Mpango huu ni mzuri na kawa wasaidiwa wakiwa kama wajasiliamali na kutengeneza kipato inaweza kusaidia Tanzania kuondokana na umasikini kuelekea katika uchumi wa kati kama jinsi ilivyojiwekea malengo,” alisema Rodriguez.

UN Resident Coordinator and UNDP Resident Representative in Tanzania, Mr. Alvaro Rodriguez

Kiongozi wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini, Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumzia madhumuni ya ziara yao kwa wanakijiji.

CLOUDS MEDIA GROUP IKIONGOZWA NA MD JOE KUSAGA YATEMBELEA NYUMBANI KWA BALOZI MANONGI, NEW YORK

$
0
0
Mwakilishi wa kudumu wa Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mhe. Balozi Tovako Manongi akimkaribisha Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga nyumbani kwake siku ya Jumamosi April 23, 2016.

Mkurugenzi huyo alitembelea nyumbani kwa Balozi jijini New York akiongozana na baadhi ya wafanyakzi wake ambao walikuja nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la Radio lililofanyika jijini Las Vegas. Picha na Vijimambo New York.
Mhe. Balozi Tuvako Manongi akiwatambulisha maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa kwa Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Bwn, Joseph Kusaga (hayupo pichani) siku ya Jumamosi April 23, 2016.
Mkurugenzi wa Clouds Media Group Bwn. Joseph Kusaga akitambulisha timu yake kwa Mhe. Balozi Tuvako Manongi.
Mhe. Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa, New York akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Bwn. Joseph Kusaga.
Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Bwn. Joseph Kusaga akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Tuvako Manongi na mkewe.
Timu nzima ya Clouds Media Group iliyohudhuria Tamasha la Radio nchini Marekani ikiwa katika picha ya pamoja na Balozi Tuvako Manongi na mkewe. Kutoka kushoto ni Saleh Mohammed, Daudu Lembuya, Dj Venture, Mhe. Balozi Tuvako Manongi, Mkurugenzi Joseph Kusaga, Mama Manongi, Dj Peter Moe na Jackson Joseph.

WAZIRI MUHONGO ATUA JIJINI DAR JIONI HII AKITOKEA NCHINI UGANDA KUKAMILISHA DILI LA BOMBA LA MAFUTA

$
0
0
 Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kati) akiwasili jijini Dar es salaam jioni hii, akitokea Jijini Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, alioongozana nao ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia) pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Juliana Pallangyo.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akionyesha kwa wanahabari, mpango wa ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka nchini Uganda mpaka Jijini Tanga, mara tu baada ya kuwasili nchini akitokea jijini Kampala. Mbali na kunufaika kwa Watanzania kupitia Mpango huo, pia utazinufaisha nchi nyingine za Afrika Mashariki na Kati.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Juliana Pallangyo (wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James Mataragio walipokuwa wakimsubiria Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alierejea jijini Dar es salaam leo akitokea Jijini Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga.

WAZIRI MKUU ALITAKA TAMASHA LA KRISMASI, PASAKA MIKOA YA KUSINI

$
0
0
Na Mwandishi Wetu, DODOMA

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, amemuomba Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka Alex Msama, kupeleka huduma hiyo katika mikoa ya Kusini kwa sababu wanakosa huduma ya neno la Mungu.

Kampuni ya Msama huandaa Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba mwaka huu na Pasaka linalotarajia kufanyika mwakani hapa nchini.

Majaliwa alisema kwa sasa tamasha hilo limekuwa na nguvu kubwa ya kuhakikisha inahamasisha jamii katika mambo mbalimbali hivyo ni wakati wa mikoa ya kusini kufaidika.

Alisema kuwa serikali yake imejipanga kuhakikisha kuwa kila Mtanzania ana haki ya kuona serikali yake inawajali na kuwapenda hivyo taasisi kama Msama Promotions, sasa inahitaji kujitanua na kufika mikoa mingi ya Tanzania.

Waziri Mkuu alisema kuwa amekuwa akifuatilia namna Tamasha la Pasaka linavyojitahidi katika kuelimisha na kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia hasa wajane na yatima hivyo na mikoa kama Lindi na Mtwara nayo inahitaji huduma hiyo.

“Nimefarijika sana na namna kampuni ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake, Alex Msama namna inavyofanyakazi zake katika kutoa burudani na kuelimisha jamii kwa maana hivyo ningependa kuwaunga mkono katika hilo,” alisema Majaliwa.

Alisema mikoa mingi ikiwamo Lindi na Mtwara nayo inachangamoto nyingi hivyo wanahitaji ujumbe kama unatolewa katika Tamasha la Pasaka kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.

“Kutoa misaada kwa yatima sio kitu kidogo lakini kubwa ni namna kampuni ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, inavyofanyakazi zake kwa kufuata sheria katika hili nawapongeza lakini kubwa ni kukumbuka mikoa ya Kusini nayo inahitaji huduma hiyo.

Alisema kuwa kuna waimbaji wengi wakubwa ambao kwa sasa wamekuwa wakifanya kazi kwa ushirikiano na Msama lakini bado hawajawahi kufika katika mikoa ya kusini hivyo ni wakati wake kuhakikisha nao wananufaika na tamasha hilo.

Majaliwa amemtaka Msama kuendelea na huduma hiyo kwani serikali iko tayari kutoa msaada wa hali na mali.

Aidha Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amemshukuru Waziri Mkuu Majaliwa na kusema kuwa atajitahidi kuboresha na kuhakikisha wananchi wote wa Tanzania wananufaika na huduma hiyo.

Msama amesema kuwa amesikia kilio cha Waziri Mkuu nakusema kuwa kamati yake iko makini na inajipanga kuhakikisha ombi hilo linafanyiwa kazi.

MARIA STOPES YAWANOA WAANDISHI WA HABARI WA JIJI LA MWANZA NA DAR JUU YA UZAZI WA MPANGO

$
0
0
Mchambuzi wa Sera na bajeti wa asasi ya Health Promotion Tanzania (HPT), Bw. James Mlali akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari wa jiji la Mwanza na Dar es Salaam waliokutanishwa pamoja jijini Mwanza na Maria Stopes Tanzania kuzungumzia ongezeko la idadi ya watu na uzazi wa mpango. Mafunzo hayo ya siku 2 yaliendana na vitendo kwa kutembelea maeneo mbali mbali ya vijijini kujionea ongezeko la idadi ya watu.
Waandishi wa habari wa jiji la Mwanza na Dar es Salaam waliokutanishwa pamoja jijini Mwanza na Maria Stopes Tanzania kuzungumzia ongezeko la idadi ya watu na uzazi wa mpango. Mafunzo hayo ya siku 2 yaliendana na vitendo kwa kutembelea maeneo mbali mbali ya vijijini kujionea ongezeko la idadi ya watu.
Waandishi wa habari wa jiji la Mwanza na Dar es Salaam wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Maria Stopes Tanzania kuzungumzia ongezeko la idadi ya watu na uzazi wa mpango. Mafunzo hayo ya siku 2 yaliendana na vitendo kwa kutembelea maeneo mbali mbali ya vijijini kujionea ongezeko la idadi ya watu.
Mwandishi wa wandishi na Muandaaji wa vipindi wa habari wa Redio Free Afrika ya Mwanza, Migongo akiuliza swali kwa mwezeshaji wa mafunzo hayo.
Wasimamizi wa Mafunzo hayo kutoka Maria Stopes Tanzania.
Mtaalamu wa uzazi wa mpango, Bi. Shida Masumbi akiwaonyesha waandishi wa habari wa jiji la Mwanza na Dar es Salaam moja ya njia mojawapo inayotumika katika uzazi wa mpango.
Mhadhiri wa SJMC- UDSM, Bw. Abdallah Katunzi akitoa mwongozo kwa waandishi wa habari juu ya mafunzo waliyoyapata waweze kuyafanyia kazi ipasavyo.
Mwandishi wa habari wa Gazeti la Citizen, Bernard Lugongo akiuliza maswali. Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog - Mwanza.
---
Na Cathbert Angelo Kajuna, Mwanza.

ASASI ya Health Promotion Tanzania (HPT) inayojishuhulisha na ongezeko la idadi ya watu na uzazi wa mpango imeiomba Serikali kuongeza bajeti ya uzazi wa mpango ifikie Sh. bilioni sita.

Kauli hiyo imetolewa na Mchambuzi wa Sera na bajeti wa asasi hiyo, James Mlali wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari wa jiji la Mwanza na Dar es Salaam yaliyoandaliwa na Maria Stopes Tanzania kuhusu ongezeko la idadi ya watu na uzazi wa mpango.

Alisema asilimia 27 ndiyo inayotumia uzazi wa mpango na asilimia 25 wanakosa huduma hiyo kutokana na ufinyu wa bajeti inayotengwa na Serikali.

Mlali alisema bajeti ikiwa ndogo hata elimu inakuwa ndogo kutokana na ukosefu wa vitendea kazi.

"Bajeti inayotengwa inatakiwa iendane na ongezeko la idadi ya watu kwa kuzingatia upatikanaji wa huduma za kijamii ambazo ni elimu,afya, na ajira.

"Pia ongezeko hili alizingatie hali ya uchumi kwasababu asilimia 42 ya watoto wamedumaa akili kutokana na ukosefu wa lishe bora," alisema Mlali.

Mtaalamu wa uzazi wa mpango, Shida Masumbi alisema kuna njia tatu za uzazi wa mpango ambazo ni njia ya muda mfupi, muda mrefu na njia ya kudumu.

Alisema njia za muda mrefu ni kitanzi, kipandikizi na njiti, njia za muda mfupi ni sindano, vidonge na kondomu.

"Pia ipo njia ya kudumu ya uzazi wa mpango ambayo ni mume na mke kufunga kizazi.

"Baadhi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango husababisha maudhi kwa kukosa hedhi, kuongezeka siku za hedhi au kuona matone madogomadogo ya damu,"alisema Masumbi.

Alisema pamoja na maudhi hayo lakini kuna faida ambazo ni kuzuia vifo kwa mama na mtoto, mama kupumnzika kwa muda mrefu na kujishughulisha na kazi nyingine za kimaendeleo.

Masumbi alisema mwitikio wa matumizi ya uzazi wa mpango ni mkubwa na wanaume 300 walijitokeza kufunga kizazi kwa mwaka jana.

AFISA TARAFA ITISO AVUNJA KAMATI YA AFYA YA ZAHANATI YA KIJIJI ATOA WIKI MOJA KUFANYIKA KWA MKUTANO MKUU WA KIJIJI

$
0
0
Afisa Tarafa wa Itiso Bw. Remidius Emmanuel  akizungumza na wananchi wa kijiji cha Zajilwa na kuwasikiliza kero zao baada ya wananchi wa kata hiyo kutokuwa na imani na viongozi wao.
 Afisa Tarafa wa Itiso Bw. Remidius Emmanuel akimhoji mtendaji wa kijiji cha Zajilwa Bw. Hamisi Mdimu juu ya uhalali wa muhtasari aliouandaa na kuelekezakwa mkurugenzi wa HalmashauriyaChamwino bila kuhusisha Serikali ya kijiji.
 Baadhi ya wananchi wa kijiji Zajilwa wakiendelea kufuatilia kinachoendelea katika mkutano huo
 Afisa Tarafa akizungumza na wajumbe wa Serikali a kijiji cha Zajilwa mara tu baada ya kumalizika kwa mkutano na wananchi panija na wananchi wa kijiji hicho

Na Mwandishi Wetu
Akizungumza katika Mkutano na wananchi wa kijiji Zajilwa  wakati akisikiliza Kero za Wananchi juzi, Bw .Remidius Emmanuel ambaye ni Afisa Tarafa  ya Itiso amewataka viongozi wa kijiji hicho kutumia muda mwingi  kusikiliza Kero za Wananchi na kuzitatua, "Nimekwisha toa Maagizo katika Tarafa yangu na pengine nirudie kwa mara nyingine katika kijiji hiki, Viongozi wote tunatakiwa  kupambana na viashiria vya migogoro kabla migogoro yenyewe  kutokea, Kila mgogoro  una chanzo chake . " Jamani  leo unapoona  mawingu lazima ujue hiyo ni dalili ya mvua" Alisema Bw. Remidius 

Kiongozi huyo amesema hayo huku kukiwa na vuguvugu la Wananchi waliowengi  kuonyesha hisia kali za kuipinga Serikali ya kijiji hicho kwa kumtaka Mwenyekiti wa kijiji hicho kuachia ngazi kutokana na wananchi hao kutoridhishwa na utendaji wa Serikali ya Kijiji.

Akizungumza mbele ya Afisa Tarafa  kwa niaba ya Wananchi wenzake Bw. Chacha Marwa amesema  Serikali ya kijiji hicho ni jipu linalotakiwa kutumbuliwa kwa kuwa imeshindwa  kusoma mapato na Matumizi, "hatupati taarifa za miradi inayotekelezwa na Kijiji hiki. Tarehe 21/03/2016 Serikali ilihitisha Mkutano mkuu wa kijiji ambao ulivurugika kutokana na udanganyifu uliojitokeza. Mfano Tulisomewa Mapato ni Tsh 1,645,000 na Matumizi ni Tsh 4,510,000 taarifa inayoonyesha Matumizi kuzidi mapato ya kijiji je fedha nyingine walitoa wapi ? hakuna Umakini katika kuandaa taarifa hizo" Alisema Bw.Chacha huku akishangiliwa na Wananchi wengi na kuongeza  kuwa   "Tunashukuru sana Afisa Tarafa kwa kuja kusikiliza Kero zetu ,hapa kijijini  zipo Kero nyingi sana na Tatizo ni Serikali ya kijiji"

Hata hivyo kwa nyakati tofauti Bw. Remidius Aliwasimamisha  Mwenyekiti wa Kijiji hicho na   Mtendaji wake kujibu  hoja hizo mbele ya Mkutano huo.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kijiji cha Zajilwa Bw. Athumani  Salum Duda Alikiri kuvunjika kwa Mkutano wa Serikali ya Kijiji wa Tarehe 21/03/2016 nakusema Mkutano huo ulivunjika kutokana na Wananchi kutokubaliana na Taarifa za Mapato na Matumizi, hata hivyo Mwenyekiti huyo akionekana kuwa na kigugumizi alipotakiwa kueleza ni lini sasa Mkutano huo utafanyika.

Kwa upande wake Mtendaji wa Kijiji hicho Bw. Hamisi Mdimu, Alisema Mkutano huo ulifanyika  na Tayari amekwisha andika Muhitasari hatua iliyopingana na Maelezo  Mwenyekiti wa Kijiji  Bw. Athumani baada ya kusema kuwa  hatambui Muhtasari huo na kwamba hakuna saini yake katika Muhtasari huo , hata hivyo  Wajumbe wa Serikali ya kijiji hicho kwa upande wao walionekana  kushangazwa na Muhitasari huo ambao tayari uliandikwa na  kuelekezwa kwa Mkurugenzi kuonyesha kwamba  Mkutano mkuu ulifanyika  salama kwa kujadili Mapato na Matumizi pasipo kuonyesha kama Mkutano huo ulivunjika.

Akihitimisha hoja hizo Afisa Tarafa Bw.Remidius Emmanuel ,Amesema viongozi wa kijiji hicho ndio chanzo kikubwa  cha Migogoro na  ameangiza ndani ya kipindi cha wiki moja Serikali hiyo wahitishe haraka Mkutano Mkuu wa  kijiji kwa  kuwasomea taarifa za Mapato na Matumizi  na kujadili  masuala mbalimbali ya Maendeleo katika kijiji hicho. " Naagiza Mkutano huo ufanyike mara moja ndani ya kipindi  kisichozidi wiki moja, Wananchi wasomewe Taarifa za mapato na Matumizi , maana ni haki yao yao ya msingi,  na nitaongea na mkurugenzi ili atume haraka sana wakaguzi wa ndani kwa ajili ya kukagua  na kujiridhisha na Matumizi ya  fedha   katika kijiji hicho na kama itathibitika kuna Matumizi Mabaya ya fedha  wahusika wote watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Alisema Bw.Remidius na kuwataka Viongozi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa, Hata hivyo  amemtaka Mtendaji wa kijiji hicho kujieleza  kwa maandishi kwa nini alifanya udanganyifu wa kuandika Taarifa za Uongo kwa Mkurugenzi kama Muhtasari wa Mkutano uliovunjika  pasipo kumshirikisha Mwenyekiti wa kijiji na Wajumbe  wote wa Serikali ya kijiji hicho huku akifahamu taratibu  zote za kuandika Mihtasari ya vijiji.

Bw.Remidius amewataka Wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Serikali ya kijiji na kusema Maendeleo yanaletwa kwa ushirikiano kati ya Wananchi na Serikali. Hata hivyo Wananchi walionekana kufurahishwa na ujio wa kiongozi huyo na kukubaliana na maamuzi yaliyofikiwa.

Katika hatua nyingine Bw. Remidius ametoa muda wa Wiki moja kwa Wafanyabiashara wote ambao hawana leseni za Biashara  wawe wamelipia leseni hizo kinyume na hapo hatua kali  na msako mkali utafanyika mara moja. " Wapo wafanya biashara  wengi hapa kijijini  ambao hawana Leseni za Biashara , nawapa muda wa wiki moja wawe wamelipia leseni zao na hili ni agizo kwa Tarafa nzima ya Itiso, kinyume na hapo wajiandae kushughulikiwa  kwa mujibu Sheria" Alisema Bw. Remidius

Wakati huo huo Afisa Tarafa huyo  Ameivunja kamati ya Afya ya Zahanati ya kijiji hicho ( Zajilwa) kutokana na kushindwa kutekeleza majukumu yake kikamilifu na kukwamisha ufanisi wa huduma  ya Afya kijijini  hapo   ikiwa  ni pamoja na kukwamisha  juhudi za kijiji hicho katika kutekeleza  Maagizo ya mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Farida Salum Mgomi ambaye pamoja na mambo mengine  amekuwa mstari wa mbele  kuhimiza utoaji bora wa huduma  za Afya na  kuhamasisha Wananchi  kujiunga na Mfuko wa Afya ya jamii (CHF) aidha Bw. Remidius  amegiza kuundwa kwa Kamati mpya ili iendane na kasi  ya utendaji wa Serikali ya Awamu ya Tano.

RAHA ZA WIKENDI NDANI YA KIOTA CHA MARAHA DIAMOND, MWANZA

$
0
0
Nikiwa na wadau Dar na Mwanza walipokutana pamoja ndani ya kiota cha maraha kiitwacho Diamond ninachopatikana Kona ya Mbwiru, Mwanza... Hakika wikendi ilikuwa burudani... kutoka KUshoto ni Gsengo wa Gsengo Blog, King Mailo almaarufu Tajiri wa Mwanza, Fredy kijana mjasiliamali wa ukweli, Maduhu (tisheti blue nyuma), Mimi mwenyewe mmiliki wa Kajunason Blog, Joseph Magige na Robert Latonga mzee wa TV 1, Dar.
 
Gsengo wa Gsengo blog ambaye pia ni mtangazaji wa Jembe ni Jembe Radio 93.7 Mwanza akifanya mahojiano na Cathbert Kajuna ambaye ni mmilikiwa wa Kajunason Blog mara baada ya kuonekana kiwanja cha jijini Mwanza.
Cathbert Kajuna ambaye ni mmilikiwa wa Kajunason Blog akishow love na Robert Latonga wa TV 1 jijini Dar.
Wadau wakitafakari mawili matatu.
Show love ya marafiki, Cathbert Kajuna ambaye ni mmilikiwa wa Kajunason Blog, Joseph Magige na Robert Latonga mzee wa TV 1.

CHAMA CHA UDP CHAPATA PIGO VIGOGO WAKE WAWILI WAKIMBILIA CCK

$
0
0
 Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati akiwapokea waliokuwa viongozi wa Chama cha UDP, waliokihama chama ambao ni  Salum Makunganya aliyekuwa Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Mtwara na Mkurugenzi wa Uchaguzi  Taifa na Mjumbe wa Halmshauri Kuu na Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Dar es Salaam na aliyekuwa Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya chama hicho, Joachim Mwakitiga waliotangaza kujiondoa katika chama hicho na kujiunga CCK jijini Dar es Salaam leo asubuhi mbele ya waandishi wa habari.
 Mwenyekiti wa Wanawake CCK Taifa, Salama Juma (kulia), akizungumza wakati wa kuwapokea viongozi hao. Kushoto Salum Makunganya aliyekuwa Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Mtwara aliye hamia CCK. 
 Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi (kulia), akimkabidhi kadi ya chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Dar es Salaam, Joachim Mwakitiga aliyejiunga na chama hicho na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mtwara, Salum Makunganya Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi (kulia), akimkabidhi kadi ya chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Mtwara, Salum Makunganya aliyehamia chama hicho.

Na Dotto Mwaibale

CHAMA cha United Democratic Party (UDP) kinachoongozwa na Mwenyekiti wake wa Taifa, John Momose Cheyo, kimepata pigo baada ya wenyeviti wawili wa mikoa ya Mtwara na Dar es 
Salaam kukihama na kujiunga na Chama Cha Kijamii (CCK).

Viongozi waliokihama chama hicho ni  Salum Makunganya ambaye alikuwa Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Mtwara,  Mkurugenzi wa Uchaguzi  Taifa na Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya chama hicho na Mwenyekiti wa UDP Mkoa wa Dar es Salaam na Mjumbe wa Halmshauri Kuu, Joachim Mwakitiga waliotangaza kujiondoa katika chama hicho na kujiunga CCK leo jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa 
habari.

Wenyeviti hao baada ya kujitoa walikabidhi kadi zao za UDP kwa Katibu Mkuu wa CCK, Renatus Muabhi ambaye naye aliwakabidi kadi ya CCK na kuwatangaza rasmi  kuwa wanachama wa chama hicho.

Makunganya alikabidi kadi yake ya UDP yenye namba 4544 na kukabidhiwa ya CCK namba 1597 huku Mwakitiga akibidhi kadi yake ya UDP namba 2852 na kukabidhi ya CCK yenye namba 01599 katika tukio lililofanyika ofisi za CCK.

Wakizungumzia sababu zilizowafanya wajitoe UDP walisema ni kutokana na chama hicho kutokuwa na mwelekeo wa kimaendeleo ambacho kwa zaidi ya miaka sita viongozi wake wa kitaifa hawajaitisha mikutano ukiwamo wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Kamati Kuu.

Walisema sababu nyingine ni kwamba viongozi wa kitaifa wa UDP wamekigeuza chama hicho kama kampuni binafsi ambapo wamekuwa wakitoa maamuzi mbalimbali ambayo hayajaamuliwa na wanachama kwenye vikao .

“Nyie waandishi si mnaishi Dar es Salaam tangu lini mlishaona Mwenyekiti wa Taifa wa UDP, John Cheyo akiitisha hata mkutano wa hadhara hapa Dar es Salaam kuzungumzia mambo mbalimbali ya chama na taifa kwa ujumla kama vinavyofanya vyama vingine…jibu ni hakuna, UDP inabuka tu wakati wa uchaguzi na tena kwenye eneo moja tu,” alisema Mwakitiga.

Muabhi akizungumza baadhi baada ya kuwakabidhi kadi wenyeviti hao alisema CCK inawapokea kwa mikono miwili viongozi hao na kwamba wakiwa ndani ya chama hicho wataona utofauti na vyama vingine kwa kuwa chama kimejiwekea misingi ya kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi.

Muabhi aliitaka serikali kulitazama upya suala la vikao vya Bunge kutotangazwa kwenye vyombo vya habari kwa kuwa kufanya hivyo kunawanyima haki wananchi ya kupata habari na hivyo kushindwa kujua nini kinaendelea Bungeni.

“Serikali ijitathimini, wananchi wasipojua nini kinaendelea Bungeni kuna haja gani kwa wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi kwenda Bungeni, wananchi watajuaje kama wawakilishi wao wamezifikisha kero zao serikalini,”alisema.

Mwenyekiti wa Wanawake CCK Taifa, Salama Juma, alisema ujio wa wanachama hao wapya ambao ni wakongwe katika siasa na hivyo CCK itajifunza mambo mengi kutoka kwao.

AIRTEL YAKABIDHI HUNDI YA MILIONI 11 KWA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WATU (UCAF)

$
0
0
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya (kushoto) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 11 katibu wa mfuko wa mawasiliano kwa watu Justina Mashiba kwa ajili ya mashindano ya ICT kwa wasichana wa kidato cha tatu. yaliyoandaliwa na UCAF ( Universal Communications Services Access Funds ) na kushirikisha wasichana 240 hapa nchini, na kupata washindi sita watakaoenda kushiriki nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu, Airtel ni mdhamini wa mashindano hayo. Hafla hiyo ya makabidhiano ilifanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar Es Salaam.
---
*Wasichana sita kwenda kushiriki mashindano ya ICT nchini Ethiopia

Airtel yakabidi hundi ya shilingi millioni 11 kwa mfuko wa mawasiliano kwa watu (UCAF) kama wadhamini wa mashindano ya ICT kwa wasichana wa kidato cha tatu, yaliyoandaliwa na UCAF (Universal Communications Services Access Funds ) na kushirikisha wasichana 240 hapa nchini, na kupata washindi sita mwanzoni mwa mwezi huu na kutarajiwa kuondoka kuelekea nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu na kushiriki mashindano ya mwisho.

Akizungumza wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar Es Salaam. Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya alisema “kama sehemu ya kusaidia jamii ambayo tunafanya biashara, Airtel Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kusaidia vijana hapa nchini kwa njia mbali mbali. Udhamini huu utawasaidia mabinti hawa katika safari yao kuelekea nchini Ethiopia katika ngazi nyingine ya juu ya mashindano haya. Mallya aliendelea kusema kuwa kuwainua vijana hawa ni sawa na kuinua taifa letu la kesho. Kwani ujuzi waliokuwa nao si mdogo hivyo inatupa faraja kubwa hasa sisi wamama kuona kwamba wamama wa taifa la kesho nao wapo mstari wa mbele katika taaluma ya ICT”.

Akipokea hundi hiyo nae katibu wa mfuko wa mawasiliano kwa watu, Justina Mashiba alisema " Tunaishukuru kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kwa kutuwezesha kufanikisha mashindano haya na vile vile kuwawezesha vijana hawa kuweza kufikia ndoto zao.Hii inaonyesha dhamira ya dhati ya Airtel ya kuinua vijana hapa nchini na kuwawezesha kufikia ndoto zao”.

Airtel imejipanga katika kuinua vijana hapa nchini katika sekta mbali mbali kuhakikisha kwamba vijana wanainuliwa na kuweza kuendesha maisha yenye matumaini na faraja tele. Ni makusudio yetu kuendeleza jitihada hizi za kuhamasisha mazingira ya ICT hapa Tanzania. Aliongeza, “Tunaamini katika uwezo wa ICT kuwawezesha vijana kutimiza malengo yao muhimu maishani. Sekta ya ICT inajenga fursa nyingi za ajira kwa vijana ambao wanatamani kutumia vipaji na ujuzi wao ili kuleta mabadiliko chanya katika maisha yao.”

Na vile vile natoa pongezi za dhati kwa vijana waioweza kungia katika sita bora na kuweza kwenda kutuwakilisha nchini Ethiopia. Kwa hivi tulivyoviona tunamatumaini makubwa sana kwao na tunaamini watatuwakilisha vizuri katika mashindano hayo, aliongezea Mashiba.

Airtel kupitia huduma zake za jamii, imeweza kuwafikia vijana zaidi ya 3600 kwa mwaka huu kwa kuwapatia vitendea kazi na mafunzo mbali mbali ya biashara kupitia mpango wake wa Airtel Fursa , ambapo lengo ni kuwafikia vijana wengi zaidi hapa nchini.

RAIS DKT. MAGUFULI ATEUA MAKATIBU TAWALA WAPYA MIKOA 26 YA TANZANIA BARA

$
0
0
Viewing all 11654 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>