Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 11654

WANANCHI WAANZA UJENZI WA ZAHANATI KWA NGUVU ZAO

$
0
0
Serikali imewahakikishia wakazi wa halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara kuanza kupata huduma ya upasuaji miezi mitatu ijayo kufuatia kuanza ujenzi wa kituo cha afya katika halmashauri hiyo

Wakazi wa halmashauri hiyo kwasasa wanalazimika kusafiri kwenda halmashauri ya jirani ya tandahimba au Mtwara jambo ambalo wamekuwa wakilalamikia kwamba linaongeza gharama za matibabu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 11654

Latest Images

Trending Articles



Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>